Sayyid Swafi amezindua milango miwili katika Atabatu Abbasiyya na kutembelea mradi wa uwanja wa Ummul-Banina (a.s).
26-03-2024
Sayyid Swafi amezindua milango miwili katika Atabatu Abbasiyya na kutembelea mradi wa uwanja wa Ummul-Banina (a.s).
Kiongozi mkuu wa kisheria katika Atabatu Abbasiyya Sayyid Ahmadi Swafi, amezindua milango miwili ya Ataba tukufu na kuangalia maendeleo ya mradi wa uwanja wa Ummul-Banina (a.s).
Uzinduzi wa mlango wa Imamu Ali na Imam ...