Miradi ya Atabatu Abbasiyya tukufu
Jengo la Alhayaat la sita katika mkoa wa Muthanna
Kituo hicho kinajengwa kwenye eneo la hospitali ya Imamu Hussein (a.s) makao makuu ya mkoa, kwenye kiwanja chenye ukubwa wa mita (3500) kitakuwa na vyumba vya wagonjwa (114), kinajengwa kwa kufuata vigezo vya wanufaika na kanuni za afya, pamoja na kutekeleza masharti yote ya kujikinga na maambukizi wakati wa kazi.
Zaidi kuhusu mradi
Idadi za habari 28
03-09-2020
16-08-2020
02-08-2020
Zaidi
Picha za mradi
Idadi ya picha 77
Zaidi
Video za mradi
Vipande vya video 4