Miradi ya Atabatu Abbasiyya tukufu
Mradi wa firdaus
Atabatu Abbasiyya tukufu imetangaza kuanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa kilimo, viwanda na ufugaji, katika jangwa la Karbala na kulibadilisha kua kijani kibichi, kwa kutumia maji ya visima, mradi huo unaitwa (Firdaus) kwenye eneo lenye ukubwa wa dunam (760) sawa na mita za mraba (1,900,000).
Zaidi kuhusu mradi
Idadi za habari 5
15-12-2020
19-05-2020
01-05-2020
Zaidi
Picha za mradi
Idadi ya picha 36
Zaidi
Video za mradi
Vipande vya video 1